Mwanamke mmoja wa kenya anayeihsi ng’ambo kwa jina Jacque Naisenya aliyekuwa katika mahusiani na muigizaji wa Brian Ogana aka Luwi amefichua kwamba hawapa katika uhusiano .
Akijibu maswali ya mashabiki wake mtandaoni mwanadada huyo alisema hana tena uhusiano na Luwi.
Luwi alikuwa katika jarida la mwezi huu la Parents na wanawe watatu hatua iliyowashangaza wengi kwani palikuwa na uvumi kwamba Naisenya ndiye aliyekuwa mama ya watoto wake . Lakini mwanadada huyo alijitokeza kusema
tafadhali mniruhusu kubaini hili sina mtoto na yeyote natumai hilo sasa lipo dhahiri na linajibu maswali yenu
Miezi michache iliyopita Brian Ogana alifichuliwa na mwanamke mmoja kwa kujaribu kumlaghai pesa . Luwi hata hivyo aliyakana madai hayo akisema ilikuwa njama ya kumharibia jina .