Muimbaji huyo na Dj Mo hata hivyo wamesalia kimya kuhusu sakata hiyo na kumekuwa na uvumi kwamba wamekuwa wakipitia matatizo ya ndani ya ndoa kwa miaka kadhaa sasa .
Uvumi huo ulizidishwa na hatua ya Sze 8 kutomfuata mumewe katika instagram . DJ Mo ametajwa kuwa mwanamme aliyekuwa amempakata kimapenzi Joyce Maina katika picha iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii.
Joyce Maina amejitokeza kukakana madai hayo akiandika;
“ Habari feki zina vichekesho ,weh.kwa hivyo watu walikosa kumjua mwanamme huyo (mna picha isioonekana voizuri na inayoonyesha tu kivuli) na sasa kwa ghafla mtu huyo ni DJ Mo.lol ninyi watu mgenpata A+ katika insha kuandika juu hi story mmejiandikia.”
Aliongeza kwamba yeye sio mjinga kuiweka picha ya mume wa mtu mtandaoni