- Wapelelezi pia waamsaka mwalimu wa pili aliyejulikana kama Mike Kioko ambaye alikwepa wavu wa polisi
Wapelelezi kutoka Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wamemkamata Joseph Nduva mwalimu wa shule ya step up zion makueni kwa madai ya kumlawiti mwanafunzi wakati wa safari ya shule.
Wapelelezi pia waamsaka mwalimu wa pili aliyejulikana kama Mike Kioko ambaye alikwepa wavu wa polisi.
Kulingana na ripoti ya polisi walimu hao wawili wa Step Up Zion walionekana na shahidi akiwapiga wasichana wawili wa shule kwenye bwawa la kuogelea Jumamosi.
>>dodge the officers' dragnet, Nduva was nabbed & placed in custody, pending his arraignment on Monday 22.
— DCI KENYA (@DCI_Kenya) March 21, 2021
Meanwhile, investigative interviewing is ongoing at the school, as manhunt for Kioko continues.
Fichua kwa DCI by dialing our toll-free hotline, 0800 722 203. Usiogope!!!
Shahidi huyo aliwaita polisi, lakini mmoja wa washukiwa alifanikiwa kutoroka wakati wa kukamatwa .
Bwana. Nduva atafikishwa kortini siku ya Jumatatu wakati uchunguziunaendelea na kusakwa kwa mshukiwa huyo mwingine kukiendelea.