Fahamu alichosema Rais Ruto kuhusu mpango wa nyumba

Rais alisema kuchangia mpango wa nyumba ni kutekeleza wajibu wa kizalendo.

Muhtasari

•Jumapili, rais William Ruto alisema muswada wa mpango wa nyumba ukipitishwa bungeni utakuwa sheria na wafanyikazi watahitajika kuchangia.

•Kulingana na rais Ruto, mfanyikazi atatoa 3% ya mshahara halisi naye mwajiri wake ataongeza asilimia 3.

Alichosema Rais Ruto kuhusu mpango wa nyumba
Image: HILLARY BETT