Muhtasari
• Mtandao huo una asili yake nchini Uchina na mara ya kwanza ulizinduliwa ni mwaka 2014 kabla ya kuboreshwa 2016 na 2018 ukawa TikTok.
• Mataifa mengi ya Magharibi yameingiwa na wasiwasi kuhusu usalama wao wakidai Uchina wanaweza dukua taarifa muhimu kupitia TikTok.