Muhtasari
• Jopo la majaji watatu liliafikia uamuzi kuwa sheria iliyotumika kutoza wakenya ushuru wa nyumba haikufuata taratibu za kisheria
• Mswada wa Fedha wa 2023 ulipitishwa na bunge mnamo Juni 22, 2023, na baadaye kuidhinishwa na Rais William Ruto mnamo Juni 26.