Muhtasari
•Rais wa zamani wa Niger Mahamadou Issoufo alikaribishwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua na mkewe Mchungaji Dorcus Gachagua.
•Rais William Ruto aliwasili katika uwanja wa Moi, kaunti ya Embu mwendo wa saa tano asubuhi kuongoza taifa katika Maadhimisho ya Siku ya Madaraka.