- Kamati ya ulinzi inayoongozwa na mbunge wa kajiado kusini Katoo Ole Metito iliidhinisha uteuzi wa mabalozi 14 walioteuliwa na rais Uhuru Kenyatta .
- Wengine ni balozi Tom Amollo (Berlin), Tabu Irina (Tokyo), na Lindsay Kiptiness (Bangkok).
Kamati moja ya bunge imeidhinisha uteuzi wa Immaculate Kassait kama kamishna wa Data na wengine 14 walioteuliwa kuhuduu kama mabalozi .
Kamati ya bunge kuhusu mawasiliano imeidhinisha uteuzi wa Kassait ambaye hadi uteuzi wake alikuwa mkurugenzi wa usajili wa wapiga kura katika tume ya uchaguzi na mipaka .
Kamati ya ulinzi inayoongozwa na mbunge wa kajiado kusini Katoo Ole Metito iliidhinisha uteuzi wa mabalozi 14 walioteuliwa na rais Uhuru Kenyatta .
Kamati hiyo pia iliidhinisha uteuzi wa wa Maj Gen. (Rtd) Samwel Nandwa (Juba), Stella Munyi (Harare) and Daniel Wambura (Bujumbura), John Tipis (Cabberra), Benson Ogutu (Moscow), Immaculate Wambua (Ottawa), Catherine Mwangi (Pretoria, South Africa) na Martin Kimani (United Nations New york).
Wengine ni balozi Tom Amollo (Berlin), Tabu Irina (Tokyo), na Lindsay Kiptiness (Bangkok).