- Video yake Eric Omondi na mpenziye yazua gumzo mitandaoni
Mfalme wa wachekeshaji nchini Eriic Omondi alikuwa katika misheni ya kumtafuta bibi ambapo aliwatafuta washiriki tisa waweze kupigania nafasi hiyo kwa kupitia changamoto tofauti.
Baada ya kipindi hicho kukamilika wanamitandao na wakenya waliona ni vyema Carol kuwa mkewe Eric na alifaa kuwa mkewe.
Baada ya Carol kuwa mshindi wengi walimpa hongera, huku wakianza safari yao ya mapenzi.
Hii leo kupitia kenye ukurasa wa instagram wa Eric alipakia Video wakiwa wawili huku akiapa kumpenda Carol milele.
Kilicho wavutia mashabiki si ujumbe huo bali walivutiwa na jinsi wawili hao walivyokuwa wamevalia na hata kushangazwa ni lini wawili hao waliweza kupima nguo hizo zilizokuwa zinafanana.
Hizi hapa baadi ya hisia za mashabiki;
jalangoo:Nyinyi mulipendana kitambo bro otherwise kitenge mulishona lini?
chriskirwa: @khaligraph_jones must perform at this wedding ama hatukuji ๐on behalfSisiKamaInlaws wa online - Our requirements
bonfireadventures: Yaani mshafika stage ya kitengee๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฐ๐ช
jeff._.ke: Mtaachana tuh๐๐
hg.wanjiru: ๐๐ mi nangoja kuskia shakilla is not pregnant
perriewangare; Hadi eric ana catwalk๐๐
elly.on_beat: Kwani ilikuwa iweserious ivi ๐ฒ huyo dem kwani alikuwa single ama uliwakosanisha kwanza jamaa akahurtbrekiwa???๐
maskat254: Harusi si Leo?