- Tazama picha ya zamani ya msanii Gloria Muliro iliyowapendeza mashabiki
Gloria Muliro ni mwanamuziki wa injili wa Kenya anayetokea Magharibi mwa Kenya. alikuwa msanii tangu utotoni mwake.
Kutoka kwa mahojiano yake ya awali msanii huyo alifichua amewahi kuwa kijakazi wa nyumbani kabla ya kuanza kuimba rasmi.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram msanii huyo alipakia picha akiwa katika shule ya upili na wengi walimsifia.
Mashabiki wake wengi wanasema alikuwa mzuri tangu akiwa mtoto wakati wengine wanasema alikuwa mrembo hapo awali.
Ametoa vibao ambavyo vinapendwa na watu wengi nchini na nje ya nchi.
Wasanii wengi wana hadithi za kusikitisha za maisha yao ya awali kabla ya kufahamika sana na wamekuwa wakizisimulia na kuwatia wengi moyo.
Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;
kingsonyango047: It's in the genes ,is God👏❤️
dr.gathinjagamainawagioko: Umemaintain looks
jmulwale: Wauuuu looking appetitive
cj_son_of_universe: Hehehe😂...the journey has been incredible great
crizzygilberttsato: It has been a journey, ni mungu
deejay_lukas: Wow,wow🔥🔥🙏🙏🙏