Muhtasari
• Msanii Habib ambaye ni kakake marehemu E-SIR Alhamisi ya tarehe 27/01/2022 amesema kwamba nduguye alitabiri kifo chake siku moja kabla ya mauko yake kumfika.
• Aidha ameongeza kwamba kifo cha ndugu yake kimemuadhiri kwa muda mrefu sasa, na akatoa shukurani zake kwa msanii Nameless ambaye amekuwa wa karibu na wa msaada mkubwa kwa familia yao tangu E-SIR atangulie mbele ya haki.
• Kwa upande wake Nameless amesema kwamba E-SIR ni mtu ambaye aliishi vizuri na watu na kujituma katika kazi zake