Kenya leo imesajili visa vipya 788 vya coronavirus huku jumla ya idadi ya visa hivyo ikifikia 9,913.
Visa hivyo vipya vimetokana na sampuli 5,521 ambazo zilipimwa katika kipindi cha saa 24 zilizopita .
Kati ya visa hivyo 788 ,785 ni wakenya ilhali 3 ni vya raia a kigeni . katibu wa uwala wa afya Rashid Aman amesema wagonjwa 100 wamepona na kufikisha jumla ya watu
8,121 ambao wamepona ugonjwa huo nchini .hata hivyo watu 14 wameaga dunia na kufikisha 325 jumla ya walioaga dunia kutokana na ugonjwa huo