PATANISHO: Nikimtumia mke wangu ujumbe wa mapenzi hunijibu 'Go to hell'

Joash alituma ujumbe akiomba apatanishwe na mkewe bi Consolata akidai anapitia magumu sasa hivi.

Bibi yangu alitoka nyumbani Aprili mwaka uliopita akielekea Embakasi na kabla aende kulikuwa na mgogoro kwa nyumba. Sielewi mbona hazungumzi nami na nikimtumia ujumbe wa mapenzi ananitusi 'Go to hell'.

Mke wangu alikuwa anadai kuwa sikuwa nampa mda wake na pia anadai kuwa mimi ni mkali.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be