Toboa siri: Nataka bro yangu ajue huwa napiga bibi yake kuni

Jamaa alituma ujumbe akidai anataka kumtobolea nduguye siri ili ajue kuwa amekuwa akimnyemelea mkewe.

Alidai kuwa shemejiye ni mrembo kupindukia na kuwa hawezi kataa majaribu hayo.

Sa unajua bro akiwa siendangi mchana ni bibi yake tu natembelea. Unajua kitu ukiitiwa huwezi acha halafu tena ukiangalia bibi ni mrembo kabisa. Wale wenye mimi hupata huwa tunaachana.

Nina miaka 21 na mke wa bro ana miaka 23 lakini bro yangu ni wa miaka 32. Alisimulia.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be