1. Mayai
Mayai ni kitovu muhimu cha protini na biotin ,virutubiusho muimu sana katika ukuaji wa nywele . kula protini ya kiasi kifaacho ni muhimu kwa ukuaji wa nywele .ukosefu wa protini umefahamika kusababisha kupotea kwa nywele . biotin ni muhimu sana kwa utenezaji w protini muhimu kwa jina keratin .
2.Tunda dogo/ Berries
Matunda madogo ya Berries yamejaa viungo na vitamini muhimu vya kuwezesha ukuaji wa nywele . vitamin hizo ni pamoja na Vitamin C . Mwili huyumia vitamin C kutengeza kiungo cha collagen ,protini ambayo hufanya nywele kuwa thabiti na kuizuia kuchanika . Vitamin C pia huusaidia mwili kupata madini ya chuma au Iron kutoka kwa vyakula .uhaba wa Iron husababisha ugonjwa wa Anaemia ambao husababisha kupotea kwa nywele .
3. Spinach
Mboga ya spinach ina madini muhimu sana yanayowezesha ngozi kutoa unyevu na vitamin A na C ambazo husaidia ktika ukuaji wa nywele . ufuta maalum kwa jina Sebum hutolewa na ngozi ya kichwa ili kusaidia katika ukuaji wa nywele . Gramu 30 za spinach hutoa takriban aislimia 54 ya mahitaji yako ya kila siku ya Vitamin A .
4. Samaki wa ufuta
Samaki wenye ufuta kama vile Chache au salmon husaidia katika ukuaji wa nywele .samaki hao hutoa omega 3 ambazo ni aside zinazohusishwa na ukuaji wa nywele . Mafuta ya samaki pia huzuia kupotea kwa nywele na kuongeza ukuaji wa nywele kwa wanawake .
5. Viazi vitamu
Viazi vitamu ni muhimu sana kwa madini ya beta-carotene. Mwili hubadilisha kiungo hiki muhimu kuwa Vitamin A ambavyo vinahusishwa na afya nzuri ya nywele . Kiazi kimoja kitamu kina takriban gramu 114 za beta carotene inayoweza kukupa vitamin A mara nne zaidi ya mahitaji yako ya kila siku .
6. Parachichi/Avocados
Avocados ni tamu sana na zina mafuta ya jani ya kiasini ambayo yana vitamin E inayosaidia sana katika ukuaji wa nywele .Vitamin E pia hulinda sehemu ya ngozi kama vile nyozi ya ufuvu wa kichwa . avaocado pia zina aside maalum yenye mafuta ambayo huzuia nyewele kupotea . Vyakula vingine muhimu katika ukuaji wa nywele yenyeafya ni Njugu ,Pilipili tamu ,chaza/Oysters,uduvi/shrimp,maharagwe,soya na nyama.