‘Akuje anitoe dry spell,’ Wanawake wanammezea mate Jowie baada ya kuachiliwa kutoka jela

 Hii Kenya ina mambo ! imagine ,Joseph Irungu al maarufu  Jowie Joe  aliachiliwa  kutoka gereza la kamiti siku ya jumatatno kwa bondo ya shilingi milioni tatu .Kabla hata hajavuta pumzi baada ya muda huo wote jela ,wanawake mitandaoni wanammezea mate ! wengi wamemtaka aende katika nyumba zao kuwamalizia hamu …

Jowie  hata hivyo ana mengi ya kumsumbua fikra kwani atalazimika kuripoti kwa chifu  kila mwezi huko Nakuru na sidhana atapata muida wa kuwaridhisha wote wanaomtaka kwa njia zao za kibinafsi .Jowie,  ni mshukiwa mkuu katika mauaji ya  mfanyibiashara  Monica Kimani  na amekuwa jela kwa mwaka mmoja unusu  wakati rafiki na  na jamaa zake wamekuwa wakichangisha fedha za kumwezesha kupata uhuru wake

Jana baadhi ya wanawake  walifurika mitandao  ‘kusherehekea’ kuachiliwa kwa  Jowie  na wengine walizidisha matamanio yao ..Tazama

Silverstain M Dan I hope you have known your friends now.

Kisozi Josh Joash Eeeee right from 2018 up to now?? Thank God

loycekones Si akuje tu anitoe hii dryspell ya one year

Komando Pop Cone Sweet Freedom bro, welcome back to the hustling Nation.

Lilian Njagi Wow.. finally Mr handsome is baaaaaack

Margaret Ngugi Welcome back cute criminal

jkamwana.w ❤️❤️❤️❤️💚come to me baiby😊❤😜😋

Sheila Makau Huh…such a cutie pie😘

Regina Mwangi Still cute welcome back to free world

Wanjau Liz But why is he this cute🤔😊

Musyoka David And a Nairobi slay queen will date him. They don’t care

theefree_faller Beast back on street #WaponeSasa.🤙

hassanoh_says leo maribe ako na siku mrefu😅

tamar_reborn Apewe arimis kwa bill yangu 😌

_khankenya For me am glad, this guy deserves  an 18 year old matured whisky.. Kesi badae literally

stella_5589 Happy for you Jowie

litmus_on_the_beat saa ataenda wapi. nani atampea kazi

ndihospartah Ile kutu ii ninja ako nayo.

desmond_odipo 😂😂😂Jacque Maribe akae ritho doshi imerudi

just_arabellarey yaaay 🙌 @jowie.jowi welcome back bro

makuba_her I hope he has learned his lesson…. friends

obiero_diana Ameiva maan😂😂