Hilarious! Soma jinsi wakenya huwasaliana ikilinganishwa na watu wengine!

Efya Muthoni matumizi wa mtandao wa kijamii wa Twitter, alichapisha ujumbe mmoja ambao uliwaacha wengi vinywa wazi na kufungua fikra za wengi, alipoangazia jinsi wakenya huwasaliana, ikilinganishwa na watu kutoka maeneo mengine. 

Kusema ukweli nimekuwa nikipitia orodha ya maneno ambayo wakenya hutumia kila siku kuonesha hisia tofauti, na nimeangua kicheko kila mara. 

Tazama baadhi ya maneno hayo. 

Watu wengine      vs                 Wakenya

I'm ill prepared for these exams - Bora unajua main points ku -explain sio shida

He looks weird - Anakaa sijui aje

You are funny - Uko na ufala

That was wise - Umeongea kaa watu ishirini

You're tripping - Jiheshimu nani

That's too expensive - Na kesho unafungua saa ngapi?

Stop misbehaving - Unachoma

You are looking sharp - Budah umeamua uwakunywe uwamilize

Provide proof to your stories - Si ni mimi nakuambia

Ask for your change in a matatu -Nashukia hapo mbele

I don't want to talk about it - Kanyagia hiyo story

Have a good day - Wacha nikucall baadaye

You guys are a cute couple - Mtaachana tu

Ask for the change after buying something - Kwani mkate ni mia mbili?

Ask people we have offered a lift to get out - Si tunataka kuingia hivi tao. Tukueke wapi?

I won't show  up - Najiskia funny funny

Funga safetybelt -  Kuna polisi hapo mbele

You are handsome - Wewe unakaa kukua na madem wengi

i'm broke - Kuna kitu nategea

Come and eat - Nisikuite mara mbili

Thank you - Umeweza

Beautiful - Mali safi

Ask if he's single - Mimi staki kuchomwa na maji moto

I agree with you - Pewa mbili nakam

You are overreacting - Sasa unataka kulia?