Wakenya baada ya kuona jumbe hizo wameshabikia hatua hiyo wengi wakihoji kuwa wanasubiri kuona namna ushirikiano huo utakavyofanya.
Miaka michache katika tasnia ya muziki nchini japo msanii Samidoh ambaye ni afisa wa polisi nchini ametega anga na kujipata akiwa na mashabiki wengi wanaoshabikia nyimbo zake.
Bien alikuwa wa kwanza kutuma ujumbe na kuandika ;Mtajificha wapi?
Wengine walikuwa na haya ya kusema
Kate actress : Tumalizeni uuuuui 👐 👐 👐
Cate kaddy : You want to kill us now, huh?
Myk mukka : Rhumba Mugithi tukisonga
Tracy Waithera : Tuuukunyweni kabisa
Jayc ; I’m not ready to die out of good music
Dj Shiti : wataficha vichwa wapiii!!
Samidoh muchoki : itakuwa moto kama pasi ya makaa nani 🔥 🔥
John articles : Ghafla bin vuu 🔥 🔥 🔥 😂 😂
The Sarah Mwangi : Wowowowo hapa ndio mugithi na rhumba meet time make our lives happy