Mapenzi ni kuheshimiana! Lulu Hassan na mumewe Rashid waadhimisha mwaka wa 11 katika ndoa

Nyota wa TV Lulu Hassan  na mumewe  Rashid Abdalla  ni miongoni mwa wanandoa wanaopendwa sana  nchini .

Wawili ha oleo wanaadhimisha miaka 11  ya ndoa na walifunga ndoa siku kama ya leo ,na ili kuadhimishasiku hii Lulu aliziweka picha zake na mumewe insta na kuandika ;

 “It’s been a minute …Happy Anniversary to us Mwajita…and EID MUBARAK to all my muslim brothers and sisters”

https://www.instagram.com/p/CDSyVBxlhjW/

Kwa upande wake Rashid amesema uvumilivu na heshima ndio imekuwa nguzo ya ndoayao akisema ;

 “#sisemikitu Mapenzi hayana sogora wala aliyebora cha msingi kuridhiana, kuvumiliana, kusitiriana, kuheshimiana na kuelewana. Asante Mungu kwa hapa tulipofika. Happy anniversary to us.”

Wawili hao wamejaaliwa watoto watatu – wavulana wawili na msichana mmoja .tazama picha zao