‘…WATU WANAANZA KUMWAMBIA NI MU UGLY. THEN I’M LOOKING AT IT VILE HATA YEYE HATAJUA BUT SIDHANI KAMA NAWEZA KUWA NA HIYO PATIENCE YA KUTOLERATE SUCH COZ I’LL INSULT YOU SO I’M AVOIDING THAT.
Awinja alisimulia jinsi watu walivyomhuisisha na msururu wa wanaume wakati alipokuwa mja mzito
NILIWEKELEWA WATU KAMA EIGHT MPAKA MCA WA HUKO USHAGO KWETU HATA SIJAWAHI JUA ANAEXIST MPAKA NIKAMWONEA HURUMA. MPAKA KULIKUWA NA WATCHMAN.
Muigizaji mwenzake Wilbroda alichangia kuhusu hilo akisema ;
‘ mitandao ya kijamii ni kama ushetani .. imetusaidia sana lakini kuna mabaya mengi ndani yake .nahisi kuanza kumueka mtoto wake katika mitandao ya kijamii akiwa mdogo sio jambo zuri . lazima nipate idhini yake .
https://www.instagram.com/p/CAAf3WgHhrA/
Aliongeza
hebu fikiria mtu akisema kwamba mtoto wako ana sura mbaya? wakati mwingine hapo awali mtu aliwahi kusema hivyo baada ya picha tuliochukua katika hafla moja kusambazwa .
…”HUYU MTOTO ANAKAAJE, WAPI BABAKE..”. tangia hapo nilijiambia sitawahi kuiweka picha yake mtandaoni hadi awe mkubwa na ajiamulie mwenyewe .
Wilbroda pia alisema anapendelea kumficha mtoto wake kutoka macho ya mitandao ya kijamii
Naweza kupigana vita vyangu mwenyewe ,maoni ambayo watu hutoa … watu wana hila sio kila mtu atahisi mema ama kwa njia sawa kukuhusu .