Muhtasari
Kipruto amefikishwa katikama mahakama ya Kapsabet jumatatu asubuhi
Kesi itatajwa mei tarehe 20 mwaka ujao
Bingwa wa mbio za Olimpiki Conseslus Kipruto ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki mbili baada ya kukanusha mashtaka ya kumdhulumu kimapenzi mischana mwenye umri wa miaka 15
Mahakama ya Kapsabet imeelezwa kwamba Kipruto alitekeleza uhalifu huo kati ya tarehe 20 na 21 mwaka huu katika Lokesheni ya Tironin kaunti ya Nandi . Stakabadhi ya mahakama imeonyesha upande wa mashtaka una mashaidi watoto dhidi ya Kipruto .
Kesi hiyo itatajwa mei tarehe 20 mwaka wa 20221 . Umati wa watu ulifurika nje ya mahakama kuandamana dhidi ya mwanariadha huyo .