Muhtasari
• Mkutano huo wa siku ya Jumatano uliofanyika katika Ikulu ndogo ya Sagana katika Kaunti ya Nyeri ulileta pamoja Magavana wa eneo hilo, Wabunge na Wakilishi wa wadi.
• Lengo hasa la mkutano huo ni kudumisha umoja huku taifa linapojiandaa kwa uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu.
• Uhuru alitumia fursa hiyo kuwafafanulia wakaazi ajenda ya serikali kuhusu miradi mbalimbali katika eneo hilo na sehemu zingine nchini.