Muhtasari
- Uwasilishaji wa taarifa ya bajeti unatarajiwa kuwa wa mwisho kwa Yatani chini ya utawala uliopo
Taarifa ya bajeti ya mwaka wa fedha wa 2022/2023 itawasilishwa tarehe 7 Aprili, 2022 kuanzia saa tisa jioni.
Waziri wa Hazina Ukur Yatani alitangaza hayo Jumatatu.Bajeti hiyo itawasilishwa kwenye bunge la kitaifa.
Uwasilishaji wa taarifa ya bajeti unatarajiwa kuwa wa mwisho kwa Yatani chini ya utawala uliopo.
Bajeti itasomwa miezi miwili mapema mwaka huu katika uchaguzi wa Agosti 9.
Public Notice @BaloziYatani Cabinet Secretary @KeTreasury & @Planning_Ke will present the Budget Statement for the FY 2022/23 to the National Assembly on Thursday 7th April, 2022 from 3.00 p.m.
— The National Treasury & Planning (@KeTreasury) March 21, 2022
Read more: https://t.co/RfIu9Ly8ds pic.twitter.com/bTXl2Pq9QI