Picha za wanakandanda wa Kenya ambao wanakosesha wengi usingizi

Wa zama hawakukosea waliposema kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza, ni wanakandanda ambao wanakosesha akina kidada wengi nchin usingizi wa pono kutokana na mvuto na maumbile ya miili yao kila wanapowaona mitandaoni ama wanapokutana kutoka kwa mavazi ,nywele na miundo ya kisasa ya kunyoa nywele.

1.Roy Okal

Ni mchezaji wa klabu ya  FC Mathare na anajulukana sana akiwa uwanjani kwa umbo lake kupendeza na kuvutia na sauti tamu na yakuvutia inayowaacha akina dada nchini wakiwa wanatokwa na ute.

2.Allan Wanga

Anafahamika sana katika uchezaji wa kandanda katika timu za Leopards,Tusker,Petro Athletico ,na sasa klabu ya kakamega Homeboy .

Usichokifahamu kuhusiana na Wanga ni kuwa tabasamu yake huwaacha yahe haswa wakiwa njia panda kwani husisimua hisia za akina dada ambao humkufia kabla hajatabasamu.

3.David “Cheche” Ochieng’ 

Cheche anawapendeza wengi kwa jinsi anavyo vaa nguo zake na hata mwili wake ambao uwafutia wengi akiwa uwanjani au la,

cha mno ni vile mwanamwali huyo anavyotengeneza nywele zake kila wakati .

4. Eugene Asike

Ni mchezaji ambaye ana urembo wa kipekee na   anachezea klabu ya Tusker FC,

Anawatesa wengi anapo weka picha zake katika mtandao wa kijamii  haswa kwa mavazi yake ya kizazi kipya na wengi hudhania kuwa yeye ni muimbaji.

5.Ismael Gonzalez

Ismael amewatesa wengi kwa sababu midomo yake yenye rangi ya waridi na ata mwenye macho ya mapenzi

6Abud Omar

Abud hayuko haraka kwa miguu yake endapo ana cheza uwanjani hata pia kwa kucheza nyimbo anaweza,ana mtindo wa mavazi ambao uwauwa wengi na hata midomo yake.

7.Ayub Timbe

Timbe anajulikana kutokana na  miguu yakeiliyojaa misuli na kuwatesa wanawake wengi anapokuwa anacheza uwanjani.

8.Clifton Miheso

Miheso ni mpole wa kupindukia, ni rahisi sana kujulikana akiwa uwanjani kwa sababu ya mwili wake

9Christopher Mbamba

Mwanakanda wa Kenya ambaye alijulikana sana wakati wa AFCON, mbamba ana mwili wenye nguvu na hata uwamaliza wengi jinsi anavyotengeneza nywele yake na pia michoro yake.