1.Roy Okal
Ni mchezaji wa klabu ya FC Mathare na anajulukana sana akiwa uwanjani kwa umbo lake kupendeza na kuvutia na sauti tamu na yakuvutia inayowaacha akina dada nchini wakiwa wanatokwa na ute.
2.Allan Wanga
Anafahamika sana katika uchezaji wa kandanda katika timu za Leopards,Tusker,Petro Athletico ,na sasa klabu ya kakamega Homeboy .
Usichokifahamu kuhusiana na Wanga ni kuwa tabasamu yake huwaacha yahe haswa wakiwa njia panda kwani husisimua hisia za akina dada ambao humkufia kabla hajatabasamu.
3.David “Cheche” Ochieng’
Cheche anawapendeza wengi kwa jinsi anavyo vaa nguo zake na hata mwili wake ambao uwafutia wengi akiwa uwanjani au la,
cha mno ni vile mwanamwali huyo anavyotengeneza nywele zake kila wakati .
4. Eugene Asike
Ni mchezaji ambaye ana urembo wa kipekee na anachezea klabu ya Tusker FC,
Anawatesa wengi anapo weka picha zake katika mtandao wa kijamii haswa kwa mavazi yake ya kizazi kipya na wengi hudhania kuwa yeye ni muimbaji.
5.Ismael Gonzalez
Ismael amewatesa wengi kwa sababu midomo yake yenye rangi ya waridi na ata mwenye macho ya mapenzi
6Abud Omar
Abud hayuko haraka kwa miguu yake endapo ana cheza uwanjani hata pia kwa kucheza nyimbo anaweza,ana mtindo wa mavazi ambao uwauwa wengi na hata midomo yake.
7.Ayub Timbe
Timbe anajulikana kutokana na miguu yakeiliyojaa misuli na kuwatesa wanawake wengi anapokuwa anacheza uwanjani.
8.Clifton Miheso
Miheso ni mpole wa kupindukia, ni rahisi sana kujulikana akiwa uwanjani kwa sababu ya mwili wake
9Christopher Mbamba
Mwanakanda wa Kenya ambaye alijulikana sana wakati wa AFCON, mbamba ana mwili wenye nguvu na hata uwamaliza wengi jinsi anavyotengeneza nywele yake na pia michoro yake.