Orodha ya Watu mashuhuri wa Kenya ambao kwa sasa wanawalea vijana

Muhtasari
  • Orodha ya Watu mashuhuri wa Kenya ambao kwa sasa wanawalea vijana
  • Uhusiano kati ya mzazi na mwanawe ni wa umoja na huleta pamoja uhusiano wao, hasa wakati mtoto amefikisha umri wa ujana
  • KUna baadhi ya watu mashuhuri nchini ambao kwa sasa wanawalea vijana kwa njia ya kipekee
65116321_139366197159036_4663080888874024293_n (1)
65116321_139366197159036_4663080888874024293_n (1)

Uhusiano kati ya mzazi na mwanawe ni wa umoja na huleta pamoja uhusiano wao, hasa wakati mtoto amefikisha umri wa ujana.

KUna baadhi ya watu mashuhuri nchini ambao kwa sasa wanawalea vijana kwa njia ya kipekee.

Watoto wafikia katika ujana wao wazazi wanahitaji kuwa makini sana kwa maana wengi hupoteza mwelekeo wakati huo.

 
 

Orodha ya watu hao nikama ifuatayo;

1.Nameless na Wahu

Tomiso ni kifungua mimba  msanii Nameless na Wahu ambaye, ana miaka 14 ambaye ameanza kutamba sana kwenye mitandao ya kijamii huku akiitwa kwenye mitandao ya kijamii.

2.Robert Burale

Ni muhubiri ambaye mwanawe amefikisha miaka 16, na amabaye amekuwa akimlea pekeyake.

3.Kanze Dena

Mnenaji wa ikulu Kanze Dena kifungua mimba wake amefikisha miaka 14 sasa amabye yuko katika umri wa ujana.

 
 

4.Catherine Kamau

Catherine Kamau maarufu Kate Actress ni mmoja wa watu mashuhuri ambaye amekuwa akimlea kifungua mimba wake kwa heshima kubwa.

65116321_139366197159036_4663080888874024293_n (1)
65116321_139366197159036_4663080888874024293_n (1)