- Karen Nyamu asherehekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe
- Karen aligonga vichwa vya habari baada ya kuweka wazi kwamba ana mtoto wa msanii Samidoh
Mwanasiasa Karen Nyamu, kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alimlimbikizia sifa mwanawe na Samidoh, huku akiadhimisha mwaka mmoja.
Karen wenye ujumbe wake aliahidi mwanawe kupigana vita vyake, huku akisema kwamba amemfundisha uoendo ambao hakujua awali.
Karen aligonga vichwa vya habari baada ya kuweka wazi kwamba ana mtoto wa msanii Samidoh.
"Mtoto wangu wewe ni baraka nzuri kwangu. Unastahili maisha bora zaidi ya kutoa. Umenifundisha upendo ambao sikujua hapo awali.
Uhusiano wetu ni mojawapo ya zawadi za thamani zaidi maishani
Dadi, unaweza kunitegemea kuwa siku zote. Nitapigana vita vyako, na ikiwa nitaacha yoyote unaweza kuwa na uhakika kwamba mama alijaribu bora zaidi
Ninatazamia nyakati nzuri mbele yetu. Nakupenda sana baby. Heri ya kuzaliwa mwana! Mwanangu," Karen Aliandika.
Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki;
jmugo.trimo: You are handsome favoured son of God๐ฅ๐ฅHBD
chainiziidun: ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅHapa ata DNA IS ziii mwenyewe anajurikana Macho tuu ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐๐
lilohwa: He's so cute, Happy birthday samido jnr
chloechloe_gabz: โค๏ธโค๏ธHappy birthday. May all the doors of greatness remain open for you.
martha_orina: Happy birthday samido jnr๐๐๐๐