- Akothee awashauri watu mashuhuri waache kutafuta kiki
Akothee amejitokeza waziwazi kutoa ushauri wa busara kwa Watu Mashuhuri wa Kenya.
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Akothee amewaambia watu mashuhuri kuacha kutafuta kiki, na kulenga kutengeneza utajiri.
Akothee amewaambia wazi kuwa baada ya kifo chao, hakuna mtoto wao atakayerithi kurasa zao za mitandao ya kijamii.
"Wacheni kutafuta kiki,tengeneza utajiri hakuna mtoto wako atarithi akunti zako za instagram," Aliandika Akothee.
Hizi hapa baadhi ya hisia za wanamitandao;
doryn_darlin: Umeshout sana sijui kama wameskiaπππππ
njengapuritynjeri: If you want to talk to Dee and Willy Paul talk to them directly madamππππππ
chirie_loshy: Aki my Akothee, when i remember you i just get out my bed in morning, and try to make things happen π
makenamaureen: ππππ madam boss has spoken ππππ₯
trinnerdernabs_: Madam boss, kuja pande ile nyingine usaidie Diana, Willy Paul anachokoza wanawakeπ
k.e.n.n.y.q: True mum π₯, na wenye hatukupata inheritance nikujituma na neema ya mwenyezi