Dereva kushtakiwa kwa kutaka kumdunga kisu mpenzi wake polisi

Catherine Kamau
Catherine Kamau
Dereva anaye daiwa kujaribu kumuuwa mpenzi wake kwa kumdunga kisu kwa maana aliacha uhusiano huo, alishtakiwa jana, Kenneth Wahome, 33, alituhumiwa kwa kujaribu kumuuwa Caroline Waithera.

Alikuwa anataka kumuuwa kwa kumdunga na kisu ya jikoni Januari, 5, katika eneo la Kayole, Embakasi maeneo ya kaunti ya Nairobi.

Mashtaka ili ripoti kuwa polisi huyo alitoka katika uhusiano huo kwa sababu ya mshangao wa mtuhumiwa.

Siku hiyo ya tukio inasemekana kuwa  Waithera alikuwa ametoka kazini na wenzake asubuhi, hakujua kuwa mtuhumiwa anamfuata nyuma na alikiwa amekasirika.

Wahome alijaribu kumshambulia Waithera kutoka nyuma akiwa anaelekea nyumbani kupumzika. Polisi walisema kuwa Wahome alikuwa amebeba kisu na kumpiga hadi kukauka, alipata majeraha hadi kuharibu mijadala kamba yake (vocal cord).

Polisi huyo alisema kuwa aling'ang'ana ili aweze kujitoa katika mikono ya mtuhumiwa huyo lakini nguvu zake ziliambulia patupu kwa maana alikuwa na nguvu nyingi.

Baada ya kung'ang'ana naye aliweza kumuacha na alama.

KATIKA KAUNTI YA TAITA TAVETA..

Gavana wa Taita Taveta Granton Sambaoja amewaonya vikali maafisa visadi katika kampuni ya usambazaji maji eneo hilo la Taveto na ambao wamekuwa wakiunganisha maji mabwenyeye bila kibali.

"Pia kumetokea kesi za ulaghai na ukora wale mabwenyenye wana bomba kuu lakini mwanchi wa kawaida anaanza kuumia na umaskini wake,

"Mimi nina wahakikishia kuwa hakuna mabwenyenye ambao watatoa maji katika bomba kuu,kwa maana maji haya ni ya kila mwananchi  ambaye anaishi katika eneo hili," Alisema Samboja.

Samboja anasema ulaghai na wizi wa maji umeisababishia hasara kubwa kampuni hiyo na kushindwa kulipa deni la maji kwa kampuni ya kusambaa maji Pwani ya (Coast Water Services Board) huku mamia ya wakazi wakisalia bila bidhaa hiyo muhimu.