Sema na Raey: Couples open up on how their parents ruined their marriages

On Wednesday, 'Sema na Raey' host, Annitah Raey asked both men and women to open up on how their parents forgot to mind their own business and instead interfered with their marriages, ruining them in the process.

Interesting enough, mothers in law were faulted by many for always being nosy and demanding towards their daughters in law.

One lady narrated how her own mother lied to her husband that she was sleeping around and that she had never stepped her foot in her home ever since the couple separated.

She says her ex husband was brain washed by the lies and the two have never been able to hold a conversation since the damage is already done.

Read her confession below.

"Nilikuwa kwenye ndoa ya mika kumi na moja, nilikuwa na watoto watatu. Siku moja nilikosana na mume wangu na nikarudi nyumbani na kuna sister yangu mwenye ananifuata. Mume wangu akaja na shopping lakini hanioni kama kitu lakini anamuona sister yangu kama kitu." She said.

She added, Sasa nilitaka kurudi kwangu nyumbani na alipopigia babangu hakumpata ila alipata mama yangu na akamweleza kuwa angependa turudiane ili tulee watoto. Imagine mamangu alimuambia kuwa anatakaje kurudiana nami na hajui niliko akidai hajui nilipoenda.

Imagine Annitah hadi wa leo mume wangu akinipigia simu husema mimi ni malaya na kuwa mimi ni malaya, siwezi ishi kwetu na mamangu hajui niliko. Haki huwa inaniuma.

Kumuuliza mamangu akasema kuwa hakutaka niishi kwa ile ndoa eti nitafute ndoa nyingine. Aii tangu Januari sijawahi mpigia simu kwani inaniuma sana.

Listen to the audio below.

&feature=youtu.be