Oh My! Vazi la Esther Passaris lawaacha wanaume wakitirirkwa …

Mwakilishi wa akina mama wa Nairobi Passaris alijikwatua kwa rinda maalum lisilo na mikono ambalo liliacha wazi sehemu yake ya juu  hatua iliyowavutia wengi hasa wanaume katika twitter kummezea mate .

Passaris alivalia rinda hilo wakati wa hafla ya dhifaya chakula kuchangisha fedha  katika shule ya Upili ya Maranda  . Alipoziweka picha hizo mtandaoni  huenda aliwakosesha usingizi  wanaume wengi kwani hawakusita kuanza kumchumbia na hata wengi kumwalika kwa  date. Passaris kwa   werevu  wake  aliwavuta fikra  akiwajibiza kijanja  lakini wengine hawakukoma kuendelea  kumnata kwa mistari yao . jisomee mwenyewe hapa