Makamu wa chansela Mary alikabiliwa na mashtaka ya kutumia fedha na mali ya chuo hicho vibaya.
Hakji kwa kupitia mtandao wa kijamii wa twitter aliandika kuwa mashtaka inazidi kuchunguza kesi hiyo, na wakimalizana nayo watafahamisha wananchi watakapo maliza uchunguzi wao.
Uvumi huo ulikuja baada ya mwananchi mmoja kuandika kuwa Mary Walingo hayumo tena mikononi mwa DPP.
Mwalimu Mutemi wa Kiama@MutemiWaKiama
UPDATE: Maasai Mara University Vice Chancellor Prof Mary Walingo reinstated after 4 months of state-led investigations that found no evidence of corruption allegations leveled against her.What does "DCI" stand for? Dry Cleaning Investigations? !
DPP alishauri watu waweze kutupilia mmbali uvumi huo kwa maana ni wa uongo, na uliandikwa ili kuvuruga uchunguzi wa kesi hiyo.
ODPP_KE@ODPP_KE·Contrary to allegations contained in post by , Maasai Mara University VC Prof. Mary Walingo has not been cleared of corruption allegations against her. File is still under review & once ready, DPP will direct appropriatly.
ODPP_KE@ODPP_KEWe urge the public to treat this information as false and malicious and aimed at interfering and diverting attention and undermining the work of investigative and prosecution agencies.
Muungano wa wafanyikazi wa vuo vikuu kenya ulisema kuwa Mary hakuweza kufaulu na hakustahilii kuwa katika ofisi hiyo.