Kenya siku ya jumatatu imesajili visa 22 vya maambukizi ya ugonjwa wa corona na kufikisha jumla ya idadio ya visa hivyo kuwa 564,78.
Idadi hiyo ni kutoka sampuli 595 zilizopimwa katika saa 24 zilziopita .
Visa vyote vipya ni vya wakenya isipokuwa kisa kimoja .
Watu 376 wamepona na kufikisha idadi ya waliopona ugonjwa huo kuwa 27,035
Katibu wa utawala wa wizaa ya Afya Rashid Aman amesema wafanyikazi 129 wa fya wameambukizwa ugonjwa huo .Hata hivyo Kenya leo imewapotea watu wane kwa ugonjwa huo na kufikisha idadi ya walioaga dunia kuwa 735.