Muhtasari
- Sakata hii ndio mtihani mkubwa sana kwa ndoa ya DJ Mo na Size 8
- Msichana anayedaiwa kuwa mpenzi wa kando wa Mo ,afichua picha na mawasiliano kato yake na DJ Mo
Ndoa ya Dj Mo na Size 8 inapitia mtihani mkubwa wakati huu baada ya kuzuka madai kwamba DJ huyo alikuwa na uhusiano wan je ya ndoa .
Katikati ya patashika hiyo na kipusa mmoja kwa jina Maggie Wanyama anayedaiwa kuwa mpenzi wa DJ Mo . Margaret aliamua kumtupa DJ Mo chini basi kwa kufichua jumbe za mawasiliano kati yao alipozibwaga kwa mwanablogi Edgar Obare ambaye hakuchlea kuziweka wazi .
Alitoa ufichuzi wote wa kutetemesha ndoa yoyote zikiwemo picha za Mo akiwa Uchi alivyozaliwa na hilo huenda kweli lilikuwa kama kumdunga mwimba mke wa DJ Mo Size 8 .
Kulingana naye alikuwa amewasiliana na Dj huyo hadi muda mfupi tu kabla hajaibuka kusema yote . Kipusa huyo ana mtoto wa kiume wa umri wa miaka sita na hizi hapa picha zake