Mastaa wa kike waliotangaza kuachana na wapenzi wao mwaka 2023
mapema mwezi huu mjasiriamali Esther Akoth Kokeyo maarufu Akothee alitangaza kutengaza na mpenzi mzungu miezi 5 tu baada ya kufunga harusi iliyosimamisha jiji mwezi Aprili
Muhtasari
• Ndani ya mwaka huu mastaa hawa wa kike wametangaza kuachana na wapenzi wao huku wakikatisha mahusiano yao.