Mastaa wa Kenya wenye wafuasi zaidi ya milioni moja kwenye YouTube

Diana Marua amekuwa wa hivi karibuni na mwanamke pekee kutoka nchini Kenya kuwahi kufikisha subscribers zaidi ya milioni moja kwenye jukwaa la video la YouTube.

Muhtasari

• Mchekeshaji TT Comedian anakuwa mtu mchanga zaidi kuwa na wafuasi zaidi ya milioni.

• Diana Marua amekuwa wa hivi karibuni na mwanamke pekee kutoka nchini Kenya kuwahi kufikisha subscribers zaidi ya milioni moja kwenye jukwaa la video la YouTube.

Mastaa wa Kenya wenye wafuasi zaidi ya 1m
Mastaa wa Kenya wenye wafuasi zaidi ya 1m
Image: WILLIAM WANYOIKE