- Kutoka hapo hospitali za umma hazitawatoza wakenya ada zozote za PPE’S wanapolazwa hospitalini .
- Katika kipindi cha siku 14 pia wizara hyo inafaa kutumia shilingi milioni 300 kuwanunulia watu fukara katika jamii maski na kuwasambazia maski wanafunzi wote katika shule za umma kote nchini .
Wabunge wamepitisha ripoti inayoshurutisha wiara ya Afya kuiagiza kemsa kutoa PPEs zote katika hifadhi na kuwapa wahudumu wa afya .
Kulingana na ripoti hiyo ya kamati ya afya bungeni ,katika siku 14 wizara ya afua inafaa kufanya tathmini ili kujua hali ya vifaa va PPEs ili kuhakikisha kwamba vimesambazwa kwa hopitali zote za umma .
Kutoka hapo hospitali za umma hazitawatoza wakenya ada zozote za PPE’S wanapolazwa hospitalini .
Katika kipindi cha siku 14 pia wizara hyo inafaa kutumia shilingi milioni 300 kuwanunulia watu fukara katika jamii maski na kuwasambazia maski wanafunzi wote katika shule za umma kote nchini .
Ndani ya kipindi cha siku saba baada ya ripoti hiyo kutekelezwa wizara ya afya na hazina ya kitaifa zitatakiwa kutoa shilingi milioni 500 kwa NHIF ili itoe huduma za bima ikiwemo dhidi ya Corona kwa wafanyikazi wote wa fya na wa hospitali kuu za rufaa
Kulingana na spika wa bunge Justine Muturi ndani ya kipindi cha siku 21 baada ya kupokea fedha hizo NHIF inafaa kuhakikisha kwamba wahudumu wote wa afya katika kaunti na hospitali za rufaa wanawqekwa chini ya kinga ya bima ya kampuni ya Group Life Insurance