Muhtasari
- Makamu huyo wa zamani wa rais alitoa tangazo hilo kupitia ujumbe wa twitter akisema mamake mwenye umri wa miaka 92 ameaga dunia jumatatu asubuhi katika Nairobi.
Familia ya Kiongozi wa chama cha Amani National Congress Musalia Mudavadi inaomboleza baada ya kifo cha mamake , Hannah Atsianzale.
Makamu huyo wa zamani wa rais alitoa tangazo hilo kupitia ujumbe wa twitter akisema mamake mwenye umri wa miaka 92 ameaga dunia jumatatu asubuhi katika Nairobi.
" Kama familia tumeshtushwa sana na kifo hiki lakini tunazichukulia habari hizi kwa nguvu zake mola .Tafadhali tukumbukeni katika maombi.Mungu hutoa na mungu huchukua . Mungu ailaze pema roho ya mama yetu’ Mudabadi aliandika