Muhtasari
- Katika ujumbe wake wa risala za rambi rambi kwa familia ya Mudavadi Uhuru amesema mama Hannah alikuwa mkarimu na aliwasaidia wakenya wengi maskini kupata elimu .
- “Mama Hannah alikuwa nguzo muhimu kwa familia ya Mudavadi ,mwanamke mjasiri mwenye mananeno machache na ambaye wengi walimtegemea .
- Hannah ni mjane wa aliyekuwa waziri Moses Mudamba Mudavadi .