Aacha urubani aimbe muziki, asimulia mapenzi yake kwa Wema Sepetu

Screenshot_from_2019_11_02_09_35_36__1572676576_48607
Screenshot_from_2019_11_02_09_35_36__1572676576_48607
Staa wa Bongo Fleva na rubani wa ndege anayemiliki uraia wa nchi ya Oman amefunguka mapenzi yake kwa Wema Sepetu.

Dansak amefungua roho yake kwa mwanadada huyu aliyekuwa mpenzi wa staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz.

Oman ni kati ya wasanii wa nchi jirani ya Tanzania wanofanya Kiswahili kipendwe zaidi uarabuni.

https://www.instagram.com/p/B4UgCUPn4h1/

Kutokana na mapenzi yake kwa muziki, msanii huyu aliacha urubani na kuzamia kipenda roho.

Aliwahi kufanya ngoma na Nandy ya Nidokoe.

"Urubani ulikuwa ndoto ya utotoni. Kwa sasa naupatia muziki muda wake..." Danzak.

"I feel positive about Wema. Mi nakupenda na napenda jinsi unavyojituma..."

"You look amazing na nakutakia mema..."

Danzak alikuwa akifanya muziki zama za awali na kukatisha kwa sababu ya kukosa miundo misingi ya kusukuma taaluma yake.

Kwa mujibu wa staa huyu, muziki kwa sasa unaingiza pato kubwa hivi ikambidi aweke urubani kando ili mwanzo azamie muziki.