Mahakama imekataa kuhalalisha mapenzi ya jinsia moja kwa kutupilia mbali ombi la watu wa jamii hiyo waliotaka sheria inayoharamisha uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja nchini kutajwa kuwa inayokiuka katiba .Walalamishi wamedai kwamba kipengee cha 162 kinachotoa adhabu kwa wanaoshiriki mapenzi ya jinsia kinawabagua .
Mahakama imesema hakuna kati ya walalamishi aliyewasilisha ushahidi wa kubaguliwa kwa kunyimwa huduma za afya au kubaguliwa kwa msingi wa jinsia wanayopenda .