Baba mtakatifu kufanya mazungumzo na rais Kenyatta wakati wa ziara yake

Picha kwa hisani ya: redpepper.co.ug

Baba mtakatifu Pope Francis atafanya mazungumzo na rais Uhuru Kenyatta siku ya kwanza ya ziara yake.

Pope Francis ambaye atawasili humu nchini tarehe 25 mwezi November pia atakutana na maafisa wa serikali kabla ya kuhutubia taifa.