Mutahi Kagwe- waziri wa Afya
Betty Maina – waziri wa Viwanda
Raychelle Omamo – waziri wa Mashauri ya Kigeni
Sicilly Kariuki – waziri wa Maji
Peter Munya –Waziri wa Kilimo
Monica Juma – waziri wa Ulinzi
Simon Chelugui- waziri wa Leba
Ukur Yattani –waziri wa Fedha
Rais Pia maewahamisha makatibu wa kudumu katika baraza lake la mawaziri .
John Weru -PS Wizara ya Biashara
Juan Ouma PS Wizara ya Mafunzo ya anuwai
Mary Kimonye -PS Utumishi wa umma
Simon Nabukhwesi -PS Elimu ya vyuo vikuu na utafiti
Solomon Kitungu –PS Uchukuzi
Enock Momanyi Onyango –PS Mipango ya Majengo
Joe Okudo –PS Michezo
Chris Kiptoo –PS Mazingira
Kevit Desai -PS Jumuiya ya afrika mashariki
Margaret Mwakima –PS ustawi wa maeneo
Esther Koimett –PS Matangazo na mawasiliano
Peter Kaberia –PS Madini
Safina –PS Utalii
Collete Suda –PS Jinsia .
Rais Kenyatta pia amefanya uteuzi wa makatibu wa utawala katika wizara mbali kama ifuatavyo-
Hussein Dhado –CAS Wizara ya Usalama wa ndani
Patrick Ole Ntuntu- CAS Wizara ya Leba
Andrew Tuimur –CAS Wizara ya maji
Abdul Bahari –CAS Wizara Ugatuzi na maeneo ya ASAL
Lawrence Karanja – CAS wizara ya Viwanda na Biashara .
Peter Odoyo – CAS Wizara ya Ulinzi
Maureen Magoma Mbaka- CAS Wizara ya ICT na Ubunifu na masuala ya Vijana
Winnie Guchu – CAS Wizara ya Sheria ya Serikali
Wavinya Ndeti – CAS Wizara ya Uchukuzi
Zachariah Mugure –CAS Wizara ya Elimu
Mumina Bonaya – CAS Wizara ya Elimu
Lina Jebii Kilimo – CAS Wizara ya kilimo ,mifugo na Uvuvi
Ann Mukami Nyaga- CAS Wizara ya ya kilimo ,mifugo na Uvuvi
Mercy Mwangangi – CAS Wizara ya Afya
Nadia Ahmed Abdalla –CAS Wizara ya ICT ,Ubunifu na masuala ya vijana .