- Kwa maoni yangu kumpata mpenzi mwema au kupata mapenzi ya kweli hapa nje ni jambo ngumu
- Meneja wake Bahati aweka wazi ataka kujaribu uhusiano wa kimapenzi kwa mara ya mwisho
Kwa maoni yangu kumpata mpenzi mwema au kupata mapenzi ya kweli hapa nje ni jambo ngumu.
Kuna wale ambao wamepata mapenz ya kweli, na wale wameumiza roho kwa ajili ya mapenzi, watu weni wanatafuta mtu ili ajifaidi yeye mwenyewe.
Katika wakati huu wa sasa wengi wanasema kwamba wanawake wanataka tu pesa na wala sio mapenzi ya kweli.
Nao wanawake wanasema kwamba wanaume wanataka mwili wa mwanamke na wala sio mapenzi ya kweli, kisha kila mmoja anaweka mawazo tofauti akilini mwao.
Meneja wa msanii Bahati, Weezdom kupitia kwenye ukurasa wake wwa instagram amewafurahisha mashabiki wake kwa kusema kwamba atajaribu uhusiano wa kimapenzi kwa mara ya mwisho.
Huu hapa ujumbe wake;
"Nataka Kujaribu Relationship Mara Ya Mwisho..Haki Hii Ikikataa, Huyo Mimii Hadi Consolata Seminary Nikuwe Fatherππ," Aliandika Weezdom.
Hizi hapa hisia za mashabiki baada ya kusoma ujumbe wake;
bahatikenya: πππ Akiaaananiiiiii
nezzohmontana: Hahahaaπππ babaa unaenda suicide mission Islamabadππ
finnest_novo: Jaribu na mimi πππππ
__viol.a: Please do soπ
njeriwambui032: πππWeezy round hii bet haitachomeka usijaliππππ
w.a.n_g.u.i_: Shetani asikuonee this timeπππ
oziliated: Si ulikataa Mylee wetu pambana
shikz_kariungi: ππππππ alaaaah alaaaah say no more
shekowariana: ππππππMi naona ukienda tu io seminary