Muhtasari
•Mwanasoshalaiti huyo ambaye anasifiwa sana kwa unene wa makalio yake pia amesema kuwa analipisha elfu tano kwa yeyote ambaye anatamani kugusa sehemu yake ya mwili yoyote .kwa mara moja.
•.Amesema kuwa alipoteza ubikra wake siku ya kuadhimisha kufikisha miaka 27.
•Manzi wa Kibera alipata umaarufu mkubwa aliposhirikishwa kwenye kipindi cha 'Wife Material' chake mcheshi Eric Omondi.