•Msanii Iyanii ametoa kibao kipya ambacho kinajikita kwenye siku ya wapendanao ambacho kinachojulikana kama ‘Tukutane kwa Bar.
•Iyanii ambaye ni msanii anayeibukia kwenye sanaa ya muziki mwaka jana alitoa kibao cha Pombe,ambacho kilichezwa kwenye tamasha mbalimbali za burudani.
Msanii Iyanii ametoa kibao kipya 'TTukutane kwa Bar' ambacho kinazungumzia siku ya wapendanao.
Iyanii ambaye ni msanii anayeibukia kwenye sanaa ya muziki mwaka jana alitoa kibao cha Pombe,ambacho kilitesa sana katika maeneo mbalimbali ya burudani.
‘Pombe’ ni mojawapo ya vibao vya Iyanii ambavyo vilitokea kupendwa sana na wakenya hasa katika msimu wa Krismasi.
Miongoni mwa vibao ambavyo msanii huyo ametoa na zinafanya vizuri ni kama; Furaha na Pombe na cha hivi majuzi tukutane kwa bar.
This is to appreciate all my fans this Valentines, let me put a smile on your face as we wait for new music. Happy Valentines in advance. Written and performed by Iyanii Produced, mixed and mastered by Alexis on the beat. Additional Vocals: Princess Malikha Kiana, Iyanii, Brenan Rashid, Benson Amadi, Wilfred Waswa, Eugene Omondi, Tony Opany. Guitar: Iyanii Executive Producer: Utembe World All Rights Reserved © UtembeWorld2022
‘Tukutane kwa bar’ ni kibao ambacho kinazungumzia wale watu hawana wapenzi hasa mwezi huu wa mapenzi, anawashauri badala ya kujililia kwenye vitanda vyao wajitokeze kwenye virabu wapige sherehe pamoja kuepusha upweke unaokumba mtu wakati hana mpenzi.
Lengo la wimbo huo ni kuleta mashabiki pamoja na kusherekea siku hio muhimu kwa wapendao na kufanya wengi kuwa na tabasamu nyusoni badala ya kukaa kwenye kitanda usiku upweke ukiwa kumba si haba.