- Mwimbaji huyo wa kibao cha 'chingi changa' ameshiriki msururu wa picha akiwa na dadake hospitalini
Mwimbaji mashuhuri na mkufunzi wa maisha Vivian kupitia kwenye ukurasa wake rasmi wa Instagram alishiriki habari za kusikitisha.
Vivian amefichuakuwa dadake amefariki kutokana na ugonjwa wa saratani.
Mwimbaji huyo wa kibao cha 'chingi changa' ameshiriki msururu wa picha akiwa na dadake hospitalini alipokuwa akipambana na ugonjwa huo.
Ni dhahiri kwamba dada yake alikuwa akipitia wakati mgumu.
"Ni vigumu kukubali kwamba kifo ni sehemu ya maisha. Dada yangu ... #CancerKills π," mwimbaji huyo aliyevunjika moyo aliandika.
Watu kadhaa maarufu na mashabiki wametoa rambirambi zao walipomtumia ujumbe wa kutia moyo
Hizi hapa baadhi ya jumbe zao;
nickmutuma:My condolences ππΏπ
celestinegachuhi: My sincere condolences π
evelynwanjiru: Pole sana dear
Mavin: My condolences dear, it's not easy to lose a loved one take heartπ’. May she rest in eternal peace
bossjossy254: My heartfelt condolences @vivianne_ke
njorogemeri: My Condolesence ,may her soul rest in peace ππ
carbella_trends: Sorry dear.....one day cancer will also dieπ’