Corona: Kenya yaandikisha visa 188 vipya huku idadi ikifikia 36,157

Wizara ya afya kupitia ujumbe kwa vyombo vya habari ilitangaa kuwa Kenya meandikisha visa 188 vipya vya coronavirus katika masaa 24 yaliyopita.

Kufikia sasa visa vya Corona vimefikis 366,157 tagia mwezi mechi ambapo kisa cha kwanza nchini kutangazwa.

Ujumbe huo kutoka kwa waziri wa afya Mutahi Kagwe ulisema kuwa sampuli 3,092 zilichukuliwa huku idadi ya sampuli zilizopimwa kuwa 497,652.

Wakti hu huo wazri huyo alisema kuwa wagonjwa watatu wa  Corona waliaga dunia huku idadi ya walioaga ikifikia 622.

Katika visa hivyo vipya wotw ni wakenya ispokuwa raia watano wa kigeni. Kati ya idadi hiyo, 149 ni wanaume huku 39 wakiwa wanawake.

Mgonjwa mchanga zaidi ana umri wa miaka miwili huku mgonjwa mzee zaidi akiwa na miaka 78.

Idadi ya waliopona imefikia 23, 067 baada ya wagonjwa 296 kupata nafuu.