B Club eneo la burudani ambako tukio la mtu kupugwa risasi limetokea sasa limezibwa na polisi kama eneo la mkasa uchunguzi ukiendelea kuhusu tukio hilo.
B Club ni maarufu sana miongoni mwa wanaotajika katika siasa ,biashara na sanaa nchini na kila siku kuna wateja waliojaa na karamu za kila mara .