Mambo ya mitandao na ‘kuchanuka’ yamefanya uwanja kusawazishwa baina ya wanawake na wanaume na kwenye uwanja huu hakuna asiyejua mwingine anapanga nini au anafikiriaje .
&t=3s
Daku daku za hapa na pale mitandaoni ,zinafchua kwamba kuna mwongozo ambao wasichana wanaotumiwa kama wapenzi wa pembenei wanavyofaa kujihusisha katika mahusiano na Katika Podi hii leo tunakufichulia maazimio hayo ya wanawake kama walivyochapisha katika kundi moja la siri la facebook ambamo wanasema kila yanayowahusu .
Kwa mfano ,wanasema iwapo mwanamke hajui mtoto ni wa nani kati ya masponsor wake ,basi moja kwa moja mtoto ni wa yule ambaye ni tajiri ,yule ambaye ni mtanashati ni kwenda naye shopping ilhali yule maskini aliye na lolote ndiye atakayempa mtoto mapenzi !