Rais wa zamani wa Angola José dos Santos ameaga dunia

Dos Santos alikua rais wa Angola baada ya kifo cha rais wa kwanza António Agostinho Neto.

Muhtasari
  • Dos Santos alikufa siku ya Ijumaa, akiwa na umri wa miaka 79
  • Alitawala jimbo hilo lenye utajiri wa mafuta na almasi kwa takriban miongo minne.Kifo chake kilitangazwa na rais wa Angola

Rais wa zamani wa Angola José Eduardo dos Santos ameaga dunia.

Dos Santos alikufa siku ya Ijumaa, akiwa na umri wa miaka 79.

Alitawala jimbo hilo lenye utajiri wa mafuta na almasi kwa takriban miongo minne.Kifo chake kilitangazwa na rais wa Angola.

Dos Santos alifariki alipokuwa akipokea  matibabu nchini Uhispania kufuatia vita vya muda mrefu vya ugonjwa ambao hawakufichua.

Miongoni mwa mambo mengi atakayokumbukwa nayo ni kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa muda mrefu mwanzoni mwa miaka ya 2000.

Dos Santos alikua rais wa Angola baada ya kifo cha rais wa kwanza António Agostinho Neto.